ANTHONY KWEKA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 957
- 379
oooooo
O.m.g. Wakakudanganya weka na pic ukaweka jaman,,,utakuja kuambiwa weka na ...........utawek
Mkuu kama ulikuwa kwenye mawazo yangu.
yan weacha2,,nmecheka lakin bas2
Jamani huyu dada sio kosa lake hebu ona kumbe kaingia jana tu ndio maana karibu sana tatizo hukupiga hodi umeingia kimya kimya usirudie tena ina maana ungeambiwa na mengine ungekuwa tayari mwe! ukienda ugenini piga hodi dadaa
Join Date : 26th March 2013
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0
weka picha yako ya sasa........
ujumbe wako haujamfikia ukumbuke sio yeye aliyetuma hiyo post, ila ni anthony kweka.
na hii inaweza ikawa kanjanja vilevile.
ujumbe wako haujamfikia ukumbuke sio yeye aliyetuma hiyo post, ila ni anthony kweka.
na hii inaweza ikawa kanjanja vilevile.
<br />Hi people its my own a/c but nimepost kwa niac ya ZAITUNI A. ULOTU. <br />
Kwani yeye hajajiunga humu. <br />
Na email ndio yake mwenyewe. <br />
Ok mida mida ntapost no zake
hata me naona mweeeeJamani huyu dada sio kosa lake hebu ona kumbe kaingia jana tu ndio maana karibu sana tatizo hukupiga hodi umeingia kimya kimya usirudie tena ina maana ungeambiwa na mengine ungekuwa tayari mwe! ukienda ugenini piga hodi dadaaJoin Date : 26th March 2013Posts : 3Rep Power : 0Likes Received 0Likes Given 0
pamoja na ugeni,ama vip tutoe msaada jamani kwa yeyote mwenye mawazo au access na alichoomba msaada amsaidie!!
naitwa zaitun a. Ulotu
ninaishi gongolamboto.
Nina diploma ya fani tajwa hapo juu niliyoisomea na kupata ktk chuo cha uwazili tabora 2011.
Nimefanya kazi za kujitolea na sasa ninahitaji kazi ya kuajiriwa.
Pia naweza kazi za mapokezi 'receptionalist' na secretary
kwa mawasilano.
zaituniulotu@yahoo.com