Receiver imezingua

Advicer

JF-Expert Member
Nov 21, 2010
533
272
Wadau receiver aina ya media com imefuta channel zote na nkiwasha inaandika no channel nfanyaje?
 
unatakiwa kuingiza Data upya,pia zipo media com zingine hua inafuta kabisa inaweka --- kwenye display hiyo kuna waya maalum inatakiwa pamoja na receiver nyingine kama hiyo kwa ajili ya kuirudishia kumbukumbu,nimeeleza kijujuu kama tatizo kubwa nijulushe nitoe maelezo mazuri zaidi.
 
unatakiwa kuingiza Data upya,pia zipo media com zingine hua inafuta kabisa inaweka --- kwenye display hiyo kuna waya maalum inatakiwa pamoja na receiver nyingine kama hiyo kwa ajili ya kuirudishia kumbukumbu,nimeeleza kijujuu kama tatizo kubwa nijulushe nitoe maelezo mazuri zaidi.

mediacom
MFT 910+New imeandikwa hvo,pia imelost kila ki2 ata niki restore factor no kipya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom