unatakiwa kuingiza Data upya,pia zipo media com zingine hua inafuta kabisa inaweka --- kwenye display hiyo kuna waya maalum inatakiwa pamoja na receiver nyingine kama hiyo kwa ajili ya kuirudishia kumbukumbu,nimeeleza kijujuu kama tatizo kubwa nijulushe nitoe maelezo mazuri zaidi.