Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 210
Mimi nilidhani wanajeshi wa TZ wameshakwenda tayari??
Kwani hao M23 huko DRC wanafanya nini?? hebu waondoke haraka sana wanawake na watoto wa Kivu wapumuwe ndani nchi yao...
Kwani hao M23 huko DRC wanafanya nini?? hebu waondoke haraka sana wanawake na watoto wa Kivu wapumuwe ndani nchi yao...