Real men dont buy Women/Sex

There is no Faithfully women as a Prostitute, Cause then you know what you are paying for;-
Kununua Mwanamke haiwezekani na wala haifai hapa am talking about forcing women into prostitution without their will (its a form of slavery)

Kupatana na mwanamke exchange of money for exchange of good time (sioni ubaya wowote cause wote hao ni watu wazima na wanakubaliana. Na tukumbuke its not only men who pay for sex even women does.., and kuna nchi ambazo prostitution ni kazi kama Holland na these women they offer service kwa wale ambao they dont have time to chat women and are looking for no strings attached... (so I dont see any unrealness about them)
 
Naona kununua siyo vizuri, ila
kutunza ili huduma iendelee kutolewa ni ruksa.
 
Naona kununua siyo vizuri, ila
kutunza ili huduma iendelee kutolewa ni ruksa.

For Argument Sake....
Na kununua ni kufanya nini?
Kutoa Pesa ili upate penzi?
Kutoa maneno matamu ili upate penzi?
Kutoa zawadi ili upate penzi?
Kufurahia huduma, na kutoa shukrani baada ya penzi?
Kutengeneza mazingira mazuri ili upate penzi?
Kutumia Powefullness yako, au attractiveness ili kupata penzi?
Kumpa huduma rafiki yako, sababu ya kuwa rafiki mzuri na kuvutiwa nae..?


I can argue kwamba kila siku watu tunafanya transaction ya kutoa hiki kwa kupata kile..... Its all buying and selling kwa kutumia currency za aina tofauti.
 
Mwalimu kauliza hivi....

Hehehe ......nataka hili suala watu watumie fikra zao kujadili.

Mwanamke anaejiuza kwa ajili ya kulea watoto wake na anaegawa bure kwa wanaume yupi bora?

Na yule anaegawa kwa mwanamme kwa misingi ya kumchuna jee yupo katika kundi gani? Au yule anaejua kuwa anachunwa ili apewe penzi yupo wapi hapo?
Homu boyi akajibu

hapo mwal Gaijin hakuna aliye bora...wote wako kundi hilo hilo tu..
Na mimi nauliza home boyi kujiuza ni kosa kesheria? au kiiimani? au Kimorally?
 
Paying "bride price" is it not equal to buying both - sex & love?

I personally think and probably other real mean around the world that - REAL MEN ALWAYS BUY WOMEN -for- SEX & LOVE!

{Sina ganda wala risasi}
 
Hali ngumu ya maisha ndio maana wanauza, wa kuwalaumu ni wale wanaoenda kuwanunua pia
 
Na kununua ni urijali...utajiri wa moyo (kumsupport muuzaji) na pia tajiri wa mwili ehhh?!
jibu la kununua lipo first post of this thread.... or in the title rather.... real men dont buy sex, once you buy then you are not a real man
 
Mamkwe unapiga za uso kabisa
hakusoma post one, asingesema aliyosema, it is already said kwamba ni low self esteem.... connecting the dots is always very important rather than jumpin on one sentence out of many
 
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India

It is a very strong and useful statement....I am just trying to define nini maana ya kununua ngono/au penzi
Kuhonga? kulipa changu? kuvizia barmaid na kumlipa pesa for sex? where does this end?.........

Aisee........:smow:

Aisee........:smow:.....ndio kusema kuanzia anayehonga kitunguu swaumu gengeni mpaka wale wanaonogewa na kuhamishia 'bajeti mbadala' kwa nyumba ndogo wanaangukia kwenye fungu la 'cowards?'
 
ambao hawajaolewa wafanye kazi wajitunze,mbona sie tuliweza kujitunza huku tunasoma na tukamaliza chuo kikuu bila ya kuguswa na mwanaume hadi tunaolewa,mwalimu wetu kule korogwe alikuwa anatuambia "the strongest woman is the one who can stand alone"i hate machangu ya kike na kiume coz yote yanafanya biashara sababu biashara bila mnunuzi inakufa so kama wanaume wasingenunua biashara ingeshakufa!
 
Back
Top Bottom