Real men dont buy Women/Sex

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,827
11,197
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India

It is a very strong and useful statement....I am just trying to define nini maana ya kununua ngono/au penzi
Kuhonga? kulipa changu? kuvizia barmaid na kumlipa pesa for sex? where does this end?.........

Aisee........:smow:
 
isnt buying separedt completely from feelings? when u have feelings for the barmaid, isnt it just like any other affair (if u ar married) or relationship if u ar single?
real women dont buy sex either,lol!
 
wamepewa bure na wanagawa bure ila kinahitaji matunzo sana, na tunachotoa si kuhonga wala kununua tunachangia gharama za utunzaji ndo maana walioolewa wanatunzwa na waumezao je wale ambao bado nani awagharamikie? Ka sio wale wanaotumia?
 
Ndo maana wanatembea uchi, they are there for business na thithi ndo wateja wao, biashara ni kuuziana na kununuliana. why not? kama mtu anauza na sisi wenye fedha zetu tunapurchase as usual bwana. Pesa ni purchasing power hata mke wa mtu waweza nunua.
 
Kununua ngono!
Ni mwanamume ambaye anjua hafai kipendwa (not real man) ndie anayenunua ngono!
 
Very nice and interesting...mjomba kuna tofauti kubwa kati ya sex na love! of course naweza nunua sex just for the matter of satisfaction but love is different, kuna mambo mengi kama kujuana zaidi kimahusiano,kujaliana,kupendana,kuheshimiana,kuaminiana etc.
 
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India

It is a very strong and useful statement....I am just trying to define nini maana ya kununua ngono/au penzi
Kuhonga? kulipa changu? kuvizia barmaid na kumlipa pesa for sex? where does this end?.........

Aisee........:smow:

Really?
Mwanaume akighramia huduma anakua hajanunua sio?
Maana ya kununua inaleta tabu.....
 
IN fact only men who don't believe in their potential to seduce using conventional steps have to buy sex. And only women who don't believe in their potential to attract using conventional steps will sell sex.
Kinacho wafanya wanawake kua victims and men culprit ni the fact that kuna "financial" aspect pale. the one who buys is the one commiting the offence (is it an offence in TZ?)
 
Mwanaume ndo aliyeleta biashara ngono duniani,so kama yupo wa kulaumiwa ni sisi wanaume sio wanawake!
 
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India

It is a very strong and useful statement....I am just trying to define nini maana ya kununua ngono/au penzi
Kuhonga? kulipa changu? kuvizia barmaid na kumlipa pesa for sex? where does this end?.........

Aisee........:smow:


Ur right mate! I better Masturbate rather than coercing some one by whatever means to get satisfaction through sexy.
 
Really?
Mwanaume akighramia huduma anakua hajanunua sio?
Maana ya kununua inaleta tabu.....
dont shoot the messenger mkuu

kale kamama kalikua kanaongea CNN huku kameoa kijana like 20 years younger

natafakari bado ila majibu sina, ndio maana kinaiweka humu kwa wajuvi
 
Mwanaume ndo aliyeleta biashara ngono duniani,so kama yupo wa kulaumiwa ni sisi wanaume sio wanawake!
kweli aisee, anayesababisha minada ya ngombe si ngombe bali mnunuzi

daym right; so how do we do this?
 
I'm gonna be the Devil's advocate and say.........what's the difference of buying sex when you want sex and buying water when you are thirsty?
 
Yes, this is the way the cookie crumbles!

Huwezi kutatua tatizo bila ya kujua kiini cha tatizo.

Ikiwa hakuna tofauti kati ya biashara hizo mbili, sioni kwa nini mwanamme aruhusike kufanya biashara moja na kuacha nyengine.

Ikiwa kuna tofauti, basi ndio tuzijadili ili tuweze kuachana na biashara hiyo.
 
I am just watching hii documentary ya Demi Moore kuhusu rescue ya wanawake wanaolazimishwa kuwa prostitutes in Nepal na India

It is a very strong and useful statement....I am just trying to define nini maana ya kununua ngono/au penzi
Kuhonga? kulipa changu? kuvizia barmaid na kumlipa pesa for sex? where does this end?.........

Aisee........:smow:

Its the oldest profession known.
 
do shoot the messenger mkuu

kale kamama kalikua kanaongea CNN huku kameoa kijana like 20 years younger

natafakari bado ila majibu sina, ndio maana kinaiweka humu kwa wajuvi


Orite mkuu...
Kila nikitafakari extent ya ununuzi napata shida kidogo....
 
IN fact only men who don't believe in their potential to seduce using conventional steps have to buy sex. And only women who don't believe in their potential to attract using conventional steps will sell sex.
Kinacho wafanya wanawake kua victims and men culprit ni the fact that kuna "financial" aspect pale. the one who buys is the one commiting the offence (is it an offence in TZ?)

This is nice!! Should we play Russian Roulette?? Kidding! Its too dangerous game of chance my friend hahahahah

On a serious note..I like the philosophy behind this assertion.
 
I'm gonna be the Devil's advocate and say.........what's the difference of buying sex when you want sex and buying water when you are thirsty?
Tafauti ni kwenye need yenyewe. Usipo kunywa maji unakufa ila usipo do haufi. Pili, swala la ngono ni kitu intimate na swala la dignity. HAkiuzwi. Ni sawa na kumlipa mtu awe anakwambia kila saa: we ni bora kuliko bianadam wote. Moraly sio sawa hata kama huyo mtu anakubali kufanya hivo sababu katika human culture duniani kote hutakiwi kumwambia binadam hivo unless unamaanisha na wala sio sababu ya pesa.
Kukubali tendo la ndoa na mtu usie mpenda sio sawa moraly. Na mbaya zaidi kama unachukulia umasikini wake kumshawishi kwa hela ili afanye tendo la ndoa kwa kujipatia posho ni sawa na kumlazimisha (the pressure you exercise cannot be handled).
 
wamepewa bure na wanagawa bure ila kinahitaji matunzo sana, na tunachotoa si kuhonga wala kununua tunachangia gharama za utunzaji ndo maana walioolewa wanatunzwa na waumezao je wale ambao bado nani awagharamikie? Ka sio wale wanaotumia?

Ambao hawajaolewa wafanye kazi/ biashara za halali ili wajitunze wenyewe!..
 
Back
Top Bottom