Real madrid tunaongoza 1-0,kafunga Higuain dakika ya 10,mpira ni dakika ya 39 kipindi cha kwanza.
Dakika ya 41,valencia wanachomoa kupitia kwa jonas.
Haya bana wasubiri hao facebook wako,pepe anapewa matibabu baada ya kugongana na kipa wake.
Mpira ni mapumziko,Real Madrid 1-1 Valencia.
Dah!tumeumbuka nyumbani.