MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Mimi mmoja wao, sikulala na furaha. Ndio mchezo, kufunga na kufungwa, lakinikufungwa kila mara inauma. Ninafikiria kuwacha kushabikia kichwa cha (mwendawazimu) Barca, kama ambavyo niliwakataa Atletico de Madrid miaka ya 90 ambao walikuwa fan wangu. Baada ya kuona wamekuwa pakacha la magoli nikawakimbia. Na hawa RM ninawapa last chance kule Nou Camp wakati wa marudiano. Wakipachikwa tena...nakimbia kwa usalama wa afya yangu, sitaki stress.Wakulala na stress za RM polen sana, wale wa Barca Congrats. JUMAPILI NJEMA