Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,074
- 5,117
Hawa vijana wa Guti wametuwakilisha vema, hope kaka zao watafuata nyayo za wadogo zao!! [HASHTAG]#VamosReal[/HASHTAG]
FULL TIME: Dortmund U19 2-5 Real Madrid U19
Hawa vijana wa Guti wametuwakilisha vema, hope kaka zao watafuata nyayo za wadogo zao!! [HASHTAG]#VamosReal[/HASHTAG]
FULL TIME: Dortmund U19 2-5 Real Madrid U19
Benzema, Bale, CR7, & James, hapa inakuaje aisee, is it 4-4-2 or 4-2-4?
BvB wana majeruhi wengi sana pia ikumbukwe hii sio ile ya klopp mzee wa big games, batra, reus hawatakuwepo, kuondoka kwa gundogan na Hummel's kumeacha pengo kubwa kwao.Ingawa historia inawabeba, sina shaka tutafanya vizur usiku huu!! Ninajua watatuchukulia poa kutokana na game zetu zilizopita, hapo ndio watatusoma!! #We're Real Madrid !!
Habar nzuri sana kurud langoni kwa keylor Navas, Hala Madrid.Conceded only 3 Goals in 13 UCL games. UNREAL!
Kwanini Casila tu? Sijapenda hiiReal Madrid Starting XI: Casilla, Danilo, Varane, Ramos, Marcelo, Kroos, Kovacic, James, Bale, Ronaldo, Benzema.
Habar nzuri sana kurud langoni kwa keylor Navas, Hala Madrid.