MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Kwa matokeo ya leo ambapo Real Madrid imekwishafikisha points 94 wakati Barca ina points 87 na imebakia michezo miwili ambapo hata real ikipoteza yote, bado inabaki kuwa bingwa wa msimu huu. Ndoto ya Mourinho imetimia.
Sasa ushindani uko nani atakuwa mfungaji bora.
Messi magoli 46
Cristiano Ronald magoli 44.
Wakti ndio utakaoamua, lakini kuna uwezekano mkubwa kwa Messi kuwa mfungaji bora.
Sasa ushindani uko nani atakuwa mfungaji bora.
Messi magoli 46
Cristiano Ronald magoli 44.
Wakti ndio utakaoamua, lakini kuna uwezekano mkubwa kwa Messi kuwa mfungaji bora.