Ukiangalia Chanel ya CITIZEN ya Kenya huwa wana kipindi maalum huwa wanaonyesha watu wanaoshikilia uchumi wa Kenya kwa kuwa na vitega uchumi almost nchi nzima mfano ,mmojawapo ambaye Citizen wamemuonyesha anashikilia uchumi wa Kenya ni MOI Ambaye Ni owner wa Vyuo,Shule,Mahoteli,Viwanja na Biashara mbalimbali,Je Tanzania ni kina nani Wanaoshikilia uchumi wetu?