Re; Unlocking BB 9800

luvcyna

JF-Expert Member
Feb 24, 2009
1,848
1,938
Habarini wanajamvi.
Naombeni tubadilishane mawazo ama kusaidiana inapobidi,.. Ni vp ninaweza ku unlock hii sim ya blackberry, previous network provider ilikuwa ni Bell Mobility U.S... nimejaribu kupitia gsm forum lakini naona bado haitatui tatizo, nina imani humu wapo great thinkers wenye uwezo wa kulitatua hili,.
Nawasilisha Maombi yangu.
Thanks in Advance.
Luvcyna
 
Ni possible mkuu, unaweza ukatoa hiyo software ukaload software mpya naukaweza kuitumia kwenye mitanadao yetu ya hapa bongo(kama upo bong). Ukiwa intersted na hii solution nitakuwekea maelezo yake zaidi
 
Nami nina tatizo kama hilo. Nina BB Storm II unlocked ya Verizon. Hapa Bongo nimeweza kuitumia kama Simu ya kawaida lakini Email service kupitia Blackberry haifanyi kazi. Nimejaribu mitandao yote. Naomba msaada
 
Habarini wanajamvi.
Naombeni tubadilishane mawazo ama kusaidiana inapobidi,.. Ni vp ninaweza ku unlock hii sim ya blackberry, previous network provider ilikuwa ni Bell Mobility U.S... nimejaribu kupitia gsm forum lakini naona bado haitatui tatizo, nina imani humu wapo great thinkers wenye uwezo wa kulitatua hili,.
Nawasilisha Maombi yangu.
Thanks in Advance.
Luvcyna

Toa link ya solushen gani za gsmforum ulizofanyia kazi ukashindwa. Inawezekana umejaribu right solution for the wrong problem
 
Nami nina tatizo kama hilo. Nina BB Storm II unlocked ya Verizon. Hapa Bongo nimeweza kuitumia kama Simu ya kawaida lakini Email service kupitia Blackberry haifanyi kazi. Nimejaribu mitandao yote. Naomba msaada
Nenda vodacom hapo unaweza kutumia kama BIS lakini mitandao mingine kama Aiirtel haifunguki
 
Ni possible mkuu, unaweza ukatoa hiyo software ukaload software mpya naukaweza kuitumia kwenye mitanadao yetu ya hapa bongo(kama upo bong). Ukiwa intersted na hii solution nitakuwekea maelezo yake zaidi

Mkuu, kumbuka hii simu iko locked, kureload new OS haiku remove IT policy... Pia lazima tuelewe utaalam wa muhusika kabla ya kumpatia hizo Hizo njia za ku-unlock simu yake, maana kuna mda hapa jukwaani aliomba tumpe maelekezo ya namna ya ku-jailbreak Iphone yake, teh teh teh! ulimwagia maujanja mwisho wa siku aliibreak Iphone yake hadi leo anatulaumu eti tumemuulia simu yake, kumbe alikuwa anafanya kitu ambacho akijui!

Pia Research In Motion, wamekuwa wanjanja sana siku hizi kuanzia matoleo yao ya 2008 kuja juu wameweka security kali sana ambazo,usipo kuwa makini unaweza ku-unlock BB yako na mwishowe ikawa na tatizo la network na ukashindwa kuitumia.
 
Nenda vodacom hapo unaweza kutumia kama BIS lakini mitandao mingine kama Aiirtel haifunguki

Mkuu, siyo rahisi kihivyo, hawezi kutumia BIS BES kwa kuwa simu yake uko ilikokuwa inatumika mwanzo hawaja release PIN yake....Na hasipo wasiliana na Mobile operator mwanzo ambako simu yake ilikuwa inatumika wai-release PIN yake kamwe hawezi tumia hizo huduma,Maana BB server inatambua hiyo PIN kuwa inatumika mwenye mtandao kampuni ya mwanzo......voda/tigo,Airtel wao ni njia tu ya kupitishia haya mawasiliano ya BB,
 
Ni possible mkuu, unaweza ukatoa hiyo software ukaload software mpya naukaweza kuitumia kwenye mitanadao yetu ya hapa bongo(kama upo bong). Ukiwa intersted na hii solution nitakuwekea maelezo yake zaidi
Iam interested Mkuu naomba msaada wako Tafadhali
 
Toa link ya solushen gani za gsmforum ulizofanyia kazi ukashindwa. Inawezekana umejaribu right solution for the wrong problem
Mkubwa katika mabandiko ya gsmforum software nyingi walizo upload ni za tangu 2008 na ukijaribu kuzifungua mfano from rapidshare unaambiwa they are no longer existed...eg. this one GSM-Forum - View Single Post - Download & Guide MFI Multiloader for blackberry unlock hapo utaona solution waliotoa ni ya kutumia MFI MULTILOADER setup ku unlock instead when you dont have the MEP codes or when U left with 0 trial in entering those codes.. and that is specifically my problem, i left with 0 attempt n i stil don knw the solution pliz help if U can
 
Mkuu, kumbuka hii simu iko locked, kureload new OS haiku remove IT policy... Pia lazima tuelewe utaalam wa muhusika kabla ya kumpatia hizo Hizo njia za ku-unlock simu yake, maana kuna mda hapa jukwaani aliomba tumpe maelekezo ya namna ya ku-jailbreak Iphone yake, teh teh teh! ulimwagia maujanja mwisho wa siku aliibreak Iphone yake hadi leo anatulaumu eti tumemuulia simu yake, kumbe alikuwa anafanya kitu ambacho akijui! Pia Research In Motion, wamekuwa wanjanja sana siku hizi kuanzia matoleo yao ya 2008 kuja juu wameweka security kali sana ambazo,usipo kuwa makini unaweza ku-unlock BB yako na mwishowe ikawa na tatizo la network na ukashindwa kuitumia.
Nashukuru mkuu ila nadhani umenifananisha nadhani...ni kweli niliwahi kuomba msaada wa ku jailbreak iphone4 ila sikuwahi kumlaumu yeyote isipokuwa kushukuru kwani njia nilizopewa zililingana na uelewa wangu na nikafanikiwa. U might have confuse my ID Mkuu.. nathamini mchango wa wanajamvi kwani mara zote imekuwa na msaada mkubwa kwangu na nimefanikiwa katika mengi.. Nawashukuru tena kwa hilo.. ni kweli sina utaalam kivile ila naamini nina uwezo wa kupembua na ku implement guides ninazopewa na wataalam au kwa mwenye ujuzi na chochote japo kwa elimu ndogo ya IT niliyoipata as an option course wakati huo chuoni. thanks
 
Nashukuru mkuu ila nadhani umenifananisha nadhani...ni kweli niliwahi kuomba msaada wa ku jailbreak iphone4 ila sikuwahi kumlaumu yeyote isipokuwa kushukuru kwani njia nilizopewa zililingana na uelewa wangu na nikafanikiwa. U might have confuse my ID Mkuu.. nathamini mchango wa wanajamvi kwani mara zote imekuwa na msaada mkubwa kwangu na nimefanikiwa katika mengi.. Nawashukuru tena kwa hilo.. ni kweli sina utaalam kivile ila naamini nina uwezo wa kupembua na ku implement guides ninazopewa na wataalam au kwa mwenye ujuzi na chochote japo kwa elimu ndogo ya IT niliyoipata as an option course wakati huo chuoni. thanks

Umenielewa vibaya, sijasema kuwa ni wewe bali nimetoa mfano wa mdau mmoja hivi ambaye tuliwai kumpa msaada na mwishoe yakamtokea niliyo yasema hapo juu....
 
Mkubwa katika mabandiko ya gsmforum software nyingi walizo upload ni za tangu 2008 na ukijaribu kuzifungua mfano from rapidshare unaambiwa they are no longer existed...eg. this one GSM-Forum - View Single Post - Download & Guide MFI Multiloader for blackberry unlock hapo utaona solution waliotoa ni ya kutumia MFI MULTILOADER setup ku unlock instead when you dont have the MEP codes or when U left with 0 trial in entering those codes.. and that is specifically my problem, i left with 0 attempt n i stil don knw the solution pliz help if U can

Mkuu, ni kweli kuwa hii software ni ya version 2.0 ya mwaka 2008 na haijawa upgrade hadi leo, hivyo BB za kuanzia mwaka 2008 kuja juu kufanikiwa kuzi unlock kwa hii software siyo rahisi. hii ni inafavya kazi vizuri kwenye simu za matoleo ya nyuma zaidi mfano series 81** hadi 88**haikuwai kufika 98** ambayo ndio series unayotumia... Nitarudi baadae na njia nzuri na rahisi zaidi, now niko barabarani naelekea Kigoma, nikifika nitaipandisha.
[FONT=arial, sans-serif]
[/FONT]
 
Mkuu, ni kweli kuwa hii software ni ya version 2.0 ya mwaka 2008 na haijawa upgrade hadi leo, hivyo BB za kuanzia mwaka 2008 kuja juu kufanikiwa kuzi unlock kwa hii software siyo rahisi. hii ni inafavya kazi vizuri kwenye simu za matoleo ya nyuma zaidi mfano series 81** hadi 88**haikuwai kufika 98** ambayo ndio series unayotumia... Nitarudi baadae na njia nzuri na rahisi zaidi, now niko barabarani naelekea Kigoma, nikifika nitaipandisha.



Wewe ndo umekula kona hivyo ulishakimbia kwenye thread ama hizi za BB kwa gia hizo hizo. Teh teh teh teh . Kyoma vipi bana nshomile hawana longolongo.

Any way elewa tunasuburi wengi hilo darasa. So usile kona this time.
 
Wewe ndo umekula kona hivyo ulishakimbia kwenye thread ama hizi za BB kwa gia hizo hizo. Teh teh teh teh . Kyoma vipi bana nshomile hawana longolongo.

Any way elewa tunasuburi wengi hilo darasa. So usile kona this time.

Aaah Mkuu, umenichekesha sana, eti nilikimbia, unajua kwa nn sikurudi kwenye ile thread? sababu alliyehitaji utatuzi alikula kona,ndio akajitokeza uyule jamaa mbishi ambaye aliniponda mwishoe akaomba kusaidiwa, ndio maana nilikula kona kubwa kabisa.....Mimi siyo Kyomo bana, akina kiomo ni Mfianchi!


Nitarudi mkuu wangu usitie shaka.
 
Aaah Mkuu, umenichekesha sana, eti nilikimbia, unajua kwa nn sikurudi kwenye ile thread? sababu alliyehitaji utatuzi alikula kona,ndio akajitokeza uyule jamaa mbishi ambaye aliniponda mwishoe akaomba kusaidiwa, ndio maana nilikula kona kubwa kabisa.....Mimi siyo Kyomo bana, akina kiomo ni Mfianchi!


Nitarudi mkuu wangu usitie shaka.

Haya kyoma mi nilikuwa nachungulia kule kila siku wapi. Lakini afadhali huku hata kama watu wanabishana tunaelimshana sio kama kule kwenye siasa

Vipi hapo kigoma umefika website?
 
Hebu tafadhali tupe maelezo zaidi, jee umeseti email akaunti sawa ? Kama umeiseti sawa jee unaweza kutuma email? ama huwezi tuma wala kupokea? Na inapokataa inakuja message gani? Simu yako ulivyonunua ilikuwa imesajiliwa na kampuni kutumia BES? jee unaweza kupiga na kupokea simu?
 
Hebu tafadhali tupe maelezo zaidi, jee umeseti email akaunti sawa ? Kama umeiseti sawa jee unaweza kutuma email? ama huwezi tuma wala kupokea? Na inapokataa inakuja message gani? Simu yako ulivyonunua ilikuwa imesajiliwa na kampuni kutumia BES? jee unaweza kupiga na kupokea simu?

Nashukuru 4 ur response mkuu..kwa mie tatizo ni simu kuwa locked na previous network provider so hai accept laini yeyote ya hapa bongo so U cant read the email no doing anything else unless Ur using wireless connection U can hav only internet access
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom