Tz-guy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 436
- 88
Ujinga nikuponda mtu karudia thread au joke wakati wewe hukuwa na chakuandika.
Huyo ni mkosa hoja.
Ujinga nikuponda mtu karudia thread au joke wakati wewe hukuwa na chakuandika.
Ujinga ni kumzuia dada yako asipendwe wakati wewe mwenyewe una pata dada wa wenzako.
Ujinga ni kumzuia dada yako asipendwe wakati wewe mwenyewe una pata dada wa wenzako.
Ujinga ni kureply with quote thridi ndefu.
Ujinga ni ku2mia arrow kwny computer kumfukuza mdudu alie kwenye screen ya computer
Hii inwatokea sana kina mama, hasa kny hizi picha za kinigeria.
Ujinga ni kureply with quote thridi ndefu.
Mhh.. umenigusa mzee naangushaga kilio hasa nikiona picha ambayo mtoto anateseka
Ni Ujnga kustuliwa usngzni unaota ndto nzr na kulala tena ili ndto ile iendelee
ni ujinga kuwaambia wanainchi wapige mbizi wakati wewe ni kiongozi wao
Ujinga ni bhange.fuso unaiona kama kiberiti,njiti unaiona kama gogo,ugari unauona kama kichuguu,
Ndo ujinga tunaousema huo... Ha ha ha nakutania mwaya