bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
- Thread starter
- #81
Nimekupata. Kweli kabisa huwezi kutumia ubongo pekee bila kushirikisha mwili, ila sikumaanisha hivyo: Umewahi kusikia au kuona watu wanatumia mwili zaidi ya ubongo vyuoni na makazini ili kujirahisishia/kuweka njia nyeupe? sasa hayo yapo na kuna mabosi wanaendekeza hayo. Hope umenipata vilivyo nini namaanisha.
You bet nimekupata, ila sikulelewa kuwa tegemezi, namuomba Mungu aendelee kunipa bidii binafsi. Najua hayo yanatokea, ila kwa Elimu niliyonayo amabayo nimeipata kwa juhudi na msaada wa Mungu, no one can mess up with my carrier in such a dirty way.
Asante kwa ushauri once again.