KIla siku tukisema sekretarieti iko fair ila watu ndio wazembe mnatubishia, sisi wengine tulibahatika kupata zamani wakti sekretarieti inaanzishwa. Usisahu kutoa shukrani ya pekee kwa Mungu wako... If you trust in GOD
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.
Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.
Asanteni.
mkuu sio kila kitu kinausisha waganga, acha iman potofu.Hongera...ni mganga gani uliemtumia ebu tupeane maujuzi bana
ila nahisi kama wewe ni mfanyakazi wa Secretariat ya ajira unataka kutuzuga tu apa ili msionekane kama mnachakachua maana hisia zangu zinaniambia ivyo
mmmmh wizi mtupu
Wapendwa Sina jinsi ya kuielezea furaha yangu. Nimekuwa member wa JF kwa takriban mwaka sasa. Mie huwa si msomaji wa magazeti, na taarifa nyingi muhmu huzipata kupitia hapa JF. Kwa mara ya kwanza hii forum imenisaidia na nimeyaona matunda yake.
Nimefanikiwa kupata kazi, amabayo kwa mara ya kwanza niliiona hapa JF, katika forum ya "Nafasi za Kazi na Tenda". Mwanzoni sikuamini kama nami naweza pata kazi serikalini bila kuwa na mtu wa kunishika mkono, lakini leo imewezekana. Ni kweli kuna uwazi na ukweli na usawa kupitia Sekretariatiya Ajira na Utumishi. Tuliitwa watu saba na nafasi ilikuwa moja tuu.
Nimepata,
Namshukuru Mungu na WanaJF, Tuendelee kulijenga Taifa letu. Big up JF, LIVE LONGER.
Kwa wengine, Msikate tamaa, endeleeni kuomba kazi bila kuchoka, ipo siku mtafanikiwa, na tusipuuze kazi, na tufanye kazi kwa bidii na kutumia nafasi zetu kwa manufaa ya umma.
Asanteni.
Asante Mkuu, ila nikusahihishe hatukuwa tukigombania. By the way nikisema nafasi hapa si ina maana ntakuwa nimedisclose identity yangu? Lol, anyways Nashukuru kwa pongezi
Dah hongera Boy...mi mwenyewe nilipata shavu kupitia humuhumu ndani...So JF is more than what other people think
Dah hongera Boy...mi mwenyewe nilipata shavu kupitia humuhumu ndani...So JF is more than what other people think