Mch Christopher Mtikila anakutana na WAANDISHI wa HAbari asubuhi hii saa 4 na Nusu pale Travertine Hotel Magomeni KUTOA msimamo wa DP JUU ya unyama aliofanyiwa Kamanda Dr S ULIMBOKA. ATATOA MSIMAMO ni kwa mini serikali Haina nia ya dhati kumaliza matatizo ya huduma za Afya na Tabia za viongozi wa NCHi hii ya Kwenda kutibiwa nje ya NCHi hata pale wanapopata magonjwa ya zinaa na chunusi.
DONT MISS IT
DONT MISS IT