Re: Research assistant post data aid

Wambuzi

JF-Expert Member
Nov 25, 2011
557
319
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU
 
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU

Umepigwa mdogo wetu!hao jamaa hawajaanza leo michezo hiyo na wala wewe hautakuwa wakwanza wala wa mwisho kupigwa.Ushauri wangu ni kuwa vijana mnatakiwa mjipange kutafuta mitaji midogo,ili muweze kuwa wajasiriamali,kwani kusubiri kuajiliwa kutawacheleweshea maendeleo
 
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU

Hapo mkuu umeshaliwa/mmeshaliwa. Umeona wapi prospective employer anawaambia applicants walipie anything? Wakulaumiwa ni wewe na wote mliolipa.
 
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU

mamaaaaaa,umeshalizwa hapo, pole sana
 
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU

Hicho kipigo cha wazi hakuna kazi za namna hiyo! subirini tu miujiza...
 
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU

Pole sana, hapo umeliwa wala usibiri kuitwa. Kazi yoyote ile na kampuni yoyote ambayo ni real hawawezi kukuomba hela kwa ajili ya training. siku zote ni jukumu la mwajiri kutrain wewe baada ya kuona kuwa wewe unazo sifa (entry qualifications) kwa hiyo ukiona kampuni yoyote inakuomba hela kwa ajili training na mambo mengine hao ni waongo. km wapo serious wangekulipia hiyo hela halafu wakate kwenye mshaara wa kwanza.
Pole sana ndugu yangu, hizo ndo changamoto za maisha na tunajifunza kutokana na makosa.
Thanks
 
nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri,hata kama ni njaa si kiasi hicho!unatafuta kazi halafu unainunua tena kwa buku 10?elim haijakukumboa maana huwezi kununu kazi wakati uhakika wa kuipata huna
habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU
 
mafala mimi nilivyotaka kuomba nikaona watu wenyewe hawana ofisi ispokuwa wanahitaji waajiriwa itakuwa mwajiri anakwambia tuma kwanza 10,000 halafu ndi usubiri kupangiwa mkoa hamna kitu kama hicho kaka
 
hahahaha nimecheka mpaka basi ogopa mtu anaekuomba pesa thru mpesa na tgo pesa,hapo hamna ushaidi unapigwa kama chelsea
 
Ple sana mtoa uzi...mim pia nliomba but walivontumia email ya kutoa 10,000 kwanza kwa M-PESA nkaona uzushi huo...nkawatupa kulee..hamna ofisi wala nini,utawakamatia wapi..itc jus number ya simu of which akishapokea hizo pesa anaicancel humpati tena huyo Director wao..Imagine Director mzimaa anatoa number yake ya M-PESA atumiwe pesa ndo aajiri watu..kwa staili hiyo kuna kazi kweli hapo,na hata ukifanya nao kazi jua malipo yao yatakua ya kizushi sana tena ndo wakikutupa mkoani uatajuta kabsaa...nakushauri upumzike tu nyumbani au kama una kamradi kako stick into it n endelea kufight sehemu nyingine...
 
ndio maana unaitwa wambuzi.yaan mi walinitumia hiyo email baada ya kuapply,jibu nililowapa nafikiri waliniona nuksi.wewe wawapi.umeliwa hapo
aisee pole sana,ukijaribu hata kugoogle kampun kama hyo haipo.pole sana
 
nakupambuka juz jamaa wangu kapigwa laki 2 ili apate kaz tanapa..tena thru tgo pexa
 
Back
Top Bottom