habari wadau, hawa jamaa wanaitwa Data Aid walitangaza kazi za research assistant mikoa kibao hivi karibuni tukawa tumeomba.. sasa wakatutumia sms wakisema tumeshapata nafasi ila tutume 10,000 kwa njia ya MPESA kwaajili ya maandalizi ya training kabla ya kazi.. tumeshatuma hizo pesa ndo tunasubiria majibu yao wamesema tusubirie kupangwa mikoa.. kuna mtu kanambia kuwa tunaweza kuwa tumeliwa.. na hizi kazi walizitoa kupitia zoomtanzania hawakutoa website ila namba ya simu... na wamesema watakuwa wanalipa dola 25 kwa siku.. TUNAWEZA KUWA TUMELIWA KWELI????? KUNA AMBAE ALISHAWAHI KUWASIKIA BEFORE???? MSAADA WADAU