Unaaga, au?Bye!
Karibu ndugu jamvini. Naona wamekudaka kwa maswali kibao kama mashushushu badala ya kukukaribisha.
weye ni yule "general mayunga nkuya" aliyetuvuruga miaka ileee pale udsm na "extension program" ya hovyo iliyowafanya wanafunzi walazimike kushinda kwenye vi- mbwete kwa kukosa madarasa na viti vya kukalia?hi jf users!
It's another new member in the forum.
Salaam kwa washika dau wote pamoja sana katika kuleta mageuzi ya kifikra.
No one can do it except jf!
Bye!