Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/159209-naweka-koma-jf-leo.html
With reference to that post..ya 29th July 2011....niliaga hapa jukwaani kuwa ningepotea kwa muda kiasi! sikutarajia ingekuwa muda mrefu kiasi hiki (miezi nane na ushee)...ila sasa nimerudi!
Mabibi na mabwana, it feels gud to be back though kuna nyakati nilipata fursa ya kuandika na kupita hapa but sasa I am officially back.
I really missed u guys...and i hope wote mu wazima na salama..hakuna aliyetutoka.
Pamoja sana wandugu....tukutane around!
With reference to that post..ya 29th July 2011....niliaga hapa jukwaani kuwa ningepotea kwa muda kiasi! sikutarajia ingekuwa muda mrefu kiasi hiki (miezi nane na ushee)...ila sasa nimerudi!
Mabibi na mabwana, it feels gud to be back though kuna nyakati nilipata fursa ya kuandika na kupita hapa but sasa I am officially back.
I really missed u guys...and i hope wote mu wazima na salama..hakuna aliyetutoka.
Pamoja sana wandugu....tukutane around!