Re: My husband

Salaam!..
Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.

Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.

My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?

Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza

Watu wageni kwenye hii fani utawajua tu! .............Yaani hilo nalo ni la kuanzishia topic?
 
Mimi napenda mabinti wa kanda ya kaskazini wako na plan zilizoshiba nakueleweka kuwakamata wakina mwaipopo kama nyie.
 
ahahaha hizo tricky za mjini wewe usichachawe, siku ukimshtukiza ukaangalia unawezakuta kakusevu 'kimeo'!
 
Watu wageni kwenye hii fani utawajua tu! .............Yaani hilo nalo ni la kuanzishia topic?

haujambo masaki..................haya mambo ni common sana huko kwenu masaki
 
ahahaha hizo tricky za mjini wewe usichachawe, siku ukimshtukiza ukaangalia unawezakuta kakusevu 'kimeo'!

mwenyewe sijafika mjini jana,....nipo tangu kitambo_enzi zile za am
 
mkuu hapo ushaingia mtegoni. utang'ang'aniwa mpaka moto uwake. hakuachii hivi hivi afaidi mwingine. lazima atahakikisha huyo mpenzi wako anajua uwepo wake na ikiwezekana ampige chini yeye achukue jumla....kama ulikuwa unazuga, jichomoe haraka sana
 
mkuu hapo ushaingia mtegoni. utang'ang'aniwa mpaka moto uwake. hakuachii hivi hivi afaidi mwingine. lazima atahakikisha huyo mpenzi wako anajua uwepo wake na ikiwezekana ampige chini yeye achukue jumla....kama ulikuwa unazuga, jichomoe haraka sana

ushauri umezingatiwa mkuu,.......
 
Back
Top Bottom