Mie mtu mzima naelewa sana haya mambo yanavokuwa, hivo tu kuleta hapa ni kwamba you care for her
sababu ingekuwa tu cheat ya kawaida wala usingeona big deal, infact umependa alivokuita husband na umeweka big deal of it
My hubby ilikuwa rahisi sana kumteka, sababu ya u innocence niliyokuwa nayo,msichana mdogo, sijaguswa na mwanaume, kind of a girl next door
ila nilijua what is going on kwenye dunia hii, aliponambia nimpe mda kidogo amwambie nikamwambia mie asinifate mpaka amalizane nae,aaaah igwe ni story ndefu bwana nishaileta mara nyingi sana just nenda kwenye posts zangu
Mhhhhh na wewe sidhani kama una maswali coz tunakutana sana mitaa hii hhahahaaaa, au umepaonajeGaga, sijui kwa nini hapo nimepasoma kwa umakini kweli!.....lol......
Mhhhhh na wewe sidhani kama una maswali coz tunakutana sana mitaa hii hhahahaaaa, au umepaonaje
wote wawili!.....hili nalo neno
IGWE ulitaka akusave "Vocha Dar"
<br />pole kwa kukukwaza,..ila sijazini maake bado sijaoa(maake hili neno ni kali sana)_nimecheat/nimeibia....hata sura yako inaonyesha jinsi ulivyochukia pole sana mpendwa
sina mikakati yoyote ya kuvuka hii line ya usaliti(kucheat),....anyway time will tell
<br />
<br />
Sijakasirika,bali umenishangaza sana na hii mambo yako uliyofanya Igwe. Kama haujaoa jua kuwa wewe ni gold in the mud,there for gold digger are attemps to dig it so its the matter who has a sharpe hoe to dig it.unayajua mambo ya gold digger wewe?kaa chonjo igweeeeeeeeee!
aaah mnajali hiyo sasa?nimependa jamaa yako alivyokuta mlango umefungwa na yeye akaufungua kisha akaamua kujifungia jumla...................