bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
A very clever girl
Gaga, bora weye umeliona hili.....
wadada wengine wanamponda kweli huyo ''clever girl ''kwa kujibinafsisha.....
Isitoshe, sioni cha kushangaza sana kwa kile alichokifanya....................
kwani wadada wengi wapo hivo kwa sana tu.........
kwanini tusianze kulaumu kwa yeye kumvulia chupi mume wa mtu...................
Na tunalaumu yeye kumsave jamaa ''husband''?
Kuna wadada wengine unakuta amekusave kabisa eti.............''Baba Collin'' ..........lol.......
sembuse huyu kukusave my husband?