Kumbe mko wengi wa "My husband " eeh?ina maana....simu ikita.....kwenye screen jina linatokea...Low Battery.....utajibeba...
Kumbe ndio huanza hivi???limbwata huanzwa kulishwa kwa namna hii......
Ahahahahaaaah!!! Ataomba msaada wanaJF watambandua!!Unalo unalo,hubanduki tena hapo.
Kumbe ndio huanza hivi???
Nyamayao my dearest of the dearest....nilikumiso pia ila nikasema ngoja nikuache uzisake kwanza maana ndo muda. Niliamini u hai bana.
Yaani haya mapenzi ya dhati naona yana definition mpya. Na huyo dada naye bumunda tu
<br /> <br / WALEWALE! YN NYIE WANAUME MNATABIA MBAYA SNSalaam!..<br /> Nilicheat na mdada mzuri na mwenye uelewa kwa vigezo vyangu anyway_na hii ilikua wiki iliyopita,...sasa juzi kanipigia cm nimpitie ofisini kwake(ana duka la vipodozi).tukaenda sehemu kupata 1 moto 1 baridi ingawa yeye hatumii kileo,..akanipa simu yake eti nimshikie mpaka tutakapoagana.<br /> <br /> Sasa ndipo nikaanza kuipekechua kuangalia kilichomo ingawa kwa uangalifu mkubwa asije akajua nafanya nini?...haa!..nikajagundua amenisevu eti "my husband",.....mmmmh!..sijamuuliza ingawa nimeshangaa kidogo kwani,anajua fika nina mpnz wangu ninayempenda ingawa nimemcheat.<br /> <br /> My take:Je_hii ndio stail mpya badala ya ile ya baby,sweet,honey etc......au kuna maana ingine nyuma ya pazia?<br /> <br /> Nb:msiniulize kwanini sijamuuliza
<br /> <br / WALEWALE! YN NYIE WANAUME MNATABIA MBAYA SN
kwani ww umem-save aje? ungemuachia simu na ww aone ulivyom-save 'kimeo'.
wakati mwingine tunalaumu wanaume kwa kuwaonea! hicho kimeo kimeshaambiwa kuna mpnz anaependwa kwa dhati, sasa yeye amebakia kujiita wife! maigizo@itv.com!
Naomba siku moja unifundishe hizo njia ili isinichukue muda kung'amua...lol!!njia ni mbali mbali....ndio maana huwa inawachukua muda kung'amua.....
Naomba siku moja unifundishe hizo njia ili isinichukue muda kung'amua...lol!!
Hiyo maneno ilikuwa kwaajili ya dating na wewe tu!
Alijiandaa toka asubuhi kuwa anaenda kuwa cheated, hivyo alijiweka sawa kila idara, mojawapo ikiwa ni ku'edit jina alilokusave nalo.
Siku Mtokee ghafla ofisini kwake kama utathubutu kupewa uguse hiyo simu!..La utaona ataaga anaenda toilet, then anaedit fasta!
Achana na hawa watu bana!
We huwa huoni tukikaa kwenye yale mavikao yetu ya "mbesii", simu zinawekwa silence, halafu mtu anawasiliana na mjamaa kwa msg tu, tena anaandika ujumbe simu ikiwa uvunguni mwa meza au kwenye pochi!!....wanawake wamesomea hayo maneno bana!
Kwa mtizamo wangu, huyo 'ndito' alikuzidi maujanja mbaya kabisa chalii yangu!
eti eee!...lakn sitoki mpaka nione mwisho wake utakuwaje?......maake preta kasema ni limbwata