Lutala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 848
- 103
Lile sakata la kesi ya rushwa iliyokuwa inamkabili Fredrick Mwakalebela mahakama ya mkoa Iringa, limehitimishwa leo baada ya Mwakalebela kumshinda tena mwanasheria wa TAKUKURU mahakamani.
Kesi hiyo ilirudishwatena mahakamani baada ya Bwana Imani Mizizi (TAKUKURU) kupinga hukumu iliyotelewa ya kumwachia huru ndg. Mwakalebela.
Kwa ufupi tunampongeza Mwakalebela kwa kuwashinda waliombambikia kesi. Na tunawaonya Takukuru kupitia kwa wanasheria wao uchwara kuacha kubambikia kesi watu
Kesi hiyo ilirudishwatena mahakamani baada ya Bwana Imani Mizizi (TAKUKURU) kupinga hukumu iliyotelewa ya kumwachia huru ndg. Mwakalebela.
Kwa ufupi tunampongeza Mwakalebela kwa kuwashinda waliombambikia kesi. Na tunawaonya Takukuru kupitia kwa wanasheria wao uchwara kuacha kubambikia kesi watu