Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Heshima yenu wakubwa na wadogo. Jamani mimi nina shida moja, ninatafuat scholarship kwa ajili ya kufanya masters degree. Nimeshafanya application kadhaa ila naona kama nahitaji kuomba kwenye vyuo vingi vingi ili kuongeza uwezekano wa kupata. Tayari nimepata admission letter kwenye chuo kimoja cha Uingereza ila kimembe kinakuja kwenye hiyo ada yao ambayo ni kubwa sana kuihimili.
Najua hapa kuna wataalam wengi hivyo nitafurahi kwa msaada wowote ili nifanikiwe. Natanguliza shukrani za dhati, asanteni
Najua hapa kuna wataalam wengi hivyo nitafurahi kwa msaada wowote ili nifanikiwe. Natanguliza shukrani za dhati, asanteni