Wadau nataka kujua mishahara kwenye makampuni ya tumbaku, Ninaongelea Alliance One, Premium active , au Tanzania
Leaf tobbaco au TTPL. Kwani nataka kufatilia kazi katika makampuni hayo.
Je katika makampuni hayo ni lipi wanalipa mshahara wa juu kuzidi wengine, katika ujumla wao , yaani mfano kama mtu ni officer. Najua mshahara unategemea makubaliano lakini, huwa wanakuwa salary range, asante kwa ushauri na maoni.
Je maslahi mengine ya ajira yakoje ? Katika hayo makampuni ni lipi linaongoza kwa maslahi "mazuri"
Leaf tobbaco au TTPL. Kwani nataka kufatilia kazi katika makampuni hayo.
Je katika makampuni hayo ni lipi wanalipa mshahara wa juu kuzidi wengine, katika ujumla wao , yaani mfano kama mtu ni officer. Najua mshahara unategemea makubaliano lakini, huwa wanakuwa salary range, asante kwa ushauri na maoni.
Je maslahi mengine ya ajira yakoje ? Katika hayo makampuni ni lipi linaongoza kwa maslahi "mazuri"