ZnZ hakuna warabu au wamatumbi, wote ndugu!
Kumbe hawa waarabu ndiyo wanaoleta choko choko zote hizi za kuchoma makanisa, hayeni wazenji weusi ole wenu muungano ukisha vunjika mnarudi kwenye uwana tena mkiwatumikia mabwana zenu wa kiarabu, hivi mnamuona Mzee Abedi alikuwa hamnazo kuwawinga hawa waarabu nyie mnawakumbatia kwa kuwachomea nyumba wenzenu hayeni bana.