Prince MakBenny
Member
- Mar 28, 2011
- 11
- 0
Mbunge wa Arusha mjini mh Godbless Lema ametangaza kampeni mpya ya kuleta mabadiliko katika jamii.
Kampeni hiyo aliyoipa jina la 'CHANGE ON FINGERS' inalenga kuwafanya vijana kushiriki kuleta mabadiliko katika jamii kupitia vyombo vya mawasiliano kama vile simu na kompyuta,ambapo zaidi ya mawasiliano ya kawaida watatakiwa kutumiana ujumbe wenye kuleta mabadiliko kwa manufaa ya jamii ya kitanzania.
Lema aliyatamka hayo jana wakati akizindua tawi la CHADEMA chuo kikuu cha Dodoma skuli ya Elimu.
Aliwataka wengi wajiunge na mitandao ya mawasiliano kama vile facebook na Jamii forums kwani kupitia huko wataelimishana kwa kasi zaidi na kuleta mabadiliko katika jamii.
Kampeni hiyo aliyoipa jina la 'CHANGE ON FINGERS' inalenga kuwafanya vijana kushiriki kuleta mabadiliko katika jamii kupitia vyombo vya mawasiliano kama vile simu na kompyuta,ambapo zaidi ya mawasiliano ya kawaida watatakiwa kutumiana ujumbe wenye kuleta mabadiliko kwa manufaa ya jamii ya kitanzania.
Lema aliyatamka hayo jana wakati akizindua tawi la CHADEMA chuo kikuu cha Dodoma skuli ya Elimu.
Aliwataka wengi wajiunge na mitandao ya mawasiliano kama vile facebook na Jamii forums kwani kupitia huko wataelimishana kwa kasi zaidi na kuleta mabadiliko katika jamii.