Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
kuna habari zisizo rasmi ambazo zinadai kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta chama cha mabsi kina mpango wa kuongeza nauli kwa rout fupi kuwa sh 500 kuanzia ijumaa ijayo. Habari hii nimeiskia kwenye kituo cha radio cha clouds fm je yeyote mwenye data kamili jamani. Maana maisha kwa sasa yanazidi kuwa magumu na hii ni kutokana na kupanda kwa bei za vyakula pamoja na vitu vingene kama mafuta