Re: Certified copies of academic certificates!!!!!!!!!!!!!!

Insabhunsa Gusa

Senior Member
May 13, 2011
109
88
Wadau,

Naomba nifafanulieni kuhusu Certified Copies...Kuna baadhi ya watangaza ajira/kazi hutaka certified copies..Hii ina maaana gani?? Ni original copy iliyopigwa muhuri wa chuo au muhuri ya mwanasheria?? Naomba ufafanuzi, huenda ninakosa kazi kwa ajili hii..Mimi niiapply kazi, hutoa copies za chuo na sekondari na kuambatanisha na letter of application basi, napeleka. Labda kuna jambo lintakiwa kufanywa kwenye copies za vyeti?? Nisaidieni leo jamani..,Kuna kazi nime apply na leo jioni ndo deadline, asanteni...
 
Insabhunsa Gusa, Jamani mbona iko clear kabisa. Wanataka certified copy of original. Sasa wewe unataka cheti chako original kichafuliwe? Hata mwanasheria akijifanya anataka a certify cheti chako original ujue ni bogus.
Toa copy ya vyeti original, then nenda kwa mwanasheria ukiwa na vyeti original ili athibitishe kama kweli hizo copy ni za hivyo vyeti original.
 
Last edited by a moderator:
Ni copy ya certificates zako iliyopigwa mhuri wa mwanasheria au hata mahakama, na pia mwanasheria au mahakama ikipiga copy inatakiwa aandike kama sijakosea neno "certified copy of original". Du kwa hali hiyo badilisha kabisa strategy yako mapema maana waajiri wanatafuta tusababu twa maudhi km hutwo kuwakosesa watu kazi eti wanasema kuwa mwombaji ameshindwa kuzingatia masharti ya kuomba.

Kinachoudhi ni usunmbufu wa namna hiyo amboa waombaji wanapata wakati kumbe nafasi wameshaandaliwa wengi. Otherwise usife moyo maisha ni mapambano ipo siku tu kitaeleweka Mungu si Athumani
 
Insabhunsa Gusa, Jamani mbona iko clear kabisa. Wanataka certified copy of original. Sasa wewe unataka cheti chako original kichafuliwe? Hata mwanasheria akijifanya anataka a certify cheti chako original ujue ni bogus.
Toa copy ya vyeti original, then nenda kwa mwanasheria ukiwa na vyeti original ili athibitishe kama kweli hizo copy ni za hivyo vyeti original.

Asante sana Ozzie, Kwa hiyo ni lazima niende kwa mwanasheria a certify kama ni tru copy?? Halafu yeye kuna muhuri ata stamp hizo copies?? Asante tena....
 
Nadhani pia kuna taizo kidogo hapo, .........Mwanasheria ama mahakama wanacertify copy ya cheti bila kujua ni cha kugushi ama original, maana unawapa cheti 'original" na copy yake na ndipo wanapogonga hiyo mihuri ya kuthibitisha kuwa hiyo yenye muhuri ni copy ya original (ambayo inaweza kuwa original kweli ama original ya kuchonga).......... ni vigumu kwa Mahakama ama mwanasheria kujua kujua feature ama water marks za vyeti original...........Kumbe kucertify kuzuri ni kwenda kwa aliyekitoa cheti, kama unacertify cheti cha UDSM ni bora kwenda pale chuoni ili wakikague kama ni cha kweli na kisha ndio waweke muhuri.....................kama unacertfy copy ya passport ni bora kwenda uhamiaji maana hao ndio wajaua hipi ni kweli na ipi sio kweli
 
Nadhani pia kuna taizo kidogo hapo, .........Mwanasheria ama mahakama wanacertify copy ya cheti bila kujua ni cha kugushi ama original, maana unawapa cheti 'original" na copy yake na ndipo wanapogonga hiyo mihuri ya kuthibitisha kuwa hiyo yenye muhuri ni copy ya original (ambayo inaweza kuwa original kweli ama original ya kuchonga).......... ni vigumu kwa Mahakama ama mwanasheria kujua kujua feature ama water marks za vyeti original...........Kumbe kucertify kuzuri ni kwenda kwa aliyekitoa cheti, kama unacertify cheti cha UDSM ni bora kwenda pale chuoni ili wakikague kama ni cha kweli na kisha ndio waweke muhuri.....................kama unacertfy copy ya passport ni bora kwenda uhamiaji maana hao ndio wajaua hipi ni kweli na ipi sio kweli

Du mbona mtu atazunguka mpaka akome, sasa unamaanisha mie niliesoma Matai Secondary - Sumbawanga mpakani mwa Rukwa na nchi ya Zambia ntarudi Matai wacertify cheti changu cha form four, then nikitoka hapo niende Kigoma secondary nilikosoma A-level nao wacertify nikitoka hapo nije sasa UD wercertify na baada ya hapo niende Cairo - Misri nilikofanya course nako wacertify. Mi naona ukienda kwa mwanasheria au mahakamani ukiwa na vyeti original ni rahisi zaidi.
By the way hii yote ni kusumbua watu tu maana mimi nilishawahi kucertify vyeti vyangu tena mahakamani nikiwa na copy tu bila hata kuwa na original so long as umpatie karani sh elfu tano basi kazi kwisha.
 
Mkuu bornagain..........,kama ni shule zilizosajiliwa na serikali na zinatumia mitihani ya NECTA basi hauna haja ya kuzunguka kote huko, Shule huwa hazioti vyeti bali ni NECTA na hao ndio wanajua original ni kipi na kanjanja ni kipi hivyo ni wao wanaoweza kucertify cheti cha O level ama A level,...... hiyo ya kutumia mwanasheria hipo sana na inatumika lakini kuna nchi ukienda kufanya kazi wanataka vyeti viwe certified na waliovitoa na wala sio mahakama wala mwanasheria
 
nenda kwa WAKILI...utapata...! Toa photokopy,ataeka muhuri,pembeni yake atandika - i certfy that ths z the photocpy of th original copy- plus,stamp duty atabandika pemben yake!
 
Back
Top Bottom