Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Katibu mkuu wizara ya afya amewashtua madaktari waliogoma kwa kuwaeleza kwamba anashangaa wao kudai mishahara na hali nzuri kazini wakati baba yake alimkataza kusomea udakatari kwasababu ni kazi duni na isiyo na kipato.
My take:
Huyu mama anamatatizo ya akili. Kweli leo Udakatari umekuwa kazi duni? Kweli huyu mama anastahili kuendelea kuwa katibu mkuu wa wizara ya afya? Kweli anajua umuhimu wa madaktari duniani? Hivi kweli bila afya njema tutaweza kujenga taifa na sisi wenyewe?
Wito Blandina Nyoni Katibu wizara ya afya ajiuzulu
My take:
Huyu mama anamatatizo ya akili. Kweli leo Udakatari umekuwa kazi duni? Kweli huyu mama anastahili kuendelea kuwa katibu mkuu wa wizara ya afya? Kweli anajua umuhimu wa madaktari duniani? Hivi kweli bila afya njema tutaweza kujenga taifa na sisi wenyewe?
Wito Blandina Nyoni Katibu wizara ya afya ajiuzulu