Mr. Politician
Member
- May 16, 2008
- 74
- 7
Nakumbuka maisha ya Kijijini miaka hiyo mtu unajikwaa badala ya kutafuta dawa unachukua udongo na kuweka kwenye jeraha. Hivi hao walioandaa hiyo fomu hawajui maisha halisi ya Mtanzania wa kawaida yalivyo!. Kipengele cha 'V' kwenye maelekezo na sehemu 'E' vimewekwa kwa ajili ya watu gani. Ina maana wale ambao hawana uwezo wa kujilipia ndiyo mwisho wao wa kuliona darasa?. Kama Watanzania wote wangekuwa na uwezo wa kujilipia kungekuwa na haja ya kuunda Bodi ya Mikopo?, Madai ya wanafunzi wakati walipogoma yameangaliwa japo kupata undani wake? Kwa kuweka masharti ya vitisho Serikali inafikiri ndiyo itamaliza tatizo la migomo kwenye vyuo vya elimu ya juu?. Naamini kwa mtindo huu Serikali inazidi kufisha mfumo wa elimu na kudumaza vipaji vya wataalamu watarjiwa hapa nchini.
Kweli mkubwa huko kwenye ofisi ya mtaa, kata,wilayani na hiyo picha ya mzazi ya nini
Picha ya mzazi ni kituko zaidi, kama amefariki ama umezaliwa na single parent utaweka picha ya nani? UD kuna foreign students kwanini form zipo kiswahili? ama ndo politik kila mahali
Poleni sana....miaka yetu tuliambiwa twende na sahihi za makatibu kata na wakuu wa wilaya....nakumbuka wazee hao walikuwa wanajaza form kwa nyodo kweli ....kwanini mnagoma ilikuwa kazi kuwaelewesha!!!.
Ushi
Hawa jamaa sielewi kama huwa wanafikiria vizuri......! Hilo zoezi la kuizungusha hiyo form ni two expensive hasa kwa wale wanaotoka vijijini cause utakuta umbali kati ya kijiji na makao makuu ya Kata inaweza hata kufikia 200km no reliable transport pia kati ya kijiji na makao makuu ya wilaya like 300km.....no reliable transport! Did they think about that?