meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kuna tetesi kuwa RC wa mkoa wa Tanga ametumia cheo chake vibaya na kumdhalilisha mganga mkuu wa wilaya moja ya mkoa huo.
Haya yametokea wakati RC huyo akifanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo.
RC alichukizwa na kitendo cha daktari huyo kunywa maji mbele yake na hivyo akaamua kumnasa kibao na baadae kuagiza apelekwe mahabusu.
My Take:hii ni stori ya pili ndani ya wiki chache inayohusu wanasiasa wa Tanga kuwadhalilisha watendaji.hizi ni dalili za ccm kupoteza uwezo wa kuongoza na sasa wanalazimisha kuogopewa.
POLE SANA MUATHIRIKA WA TUKIO HILI.
Haya yametokea wakati RC huyo akifanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo.
RC alichukizwa na kitendo cha daktari huyo kunywa maji mbele yake na hivyo akaamua kumnasa kibao na baadae kuagiza apelekwe mahabusu.
My Take:hii ni stori ya pili ndani ya wiki chache inayohusu wanasiasa wa Tanga kuwadhalilisha watendaji.hizi ni dalili za ccm kupoteza uwezo wa kuongoza na sasa wanalazimisha kuogopewa.
POLE SANA MUATHIRIKA WA TUKIO HILI.