Kuna habari kuwa rc wa mbeya amewaita wafanyakazi walioko chini yake akiwaonya wajiepushe kumsema rais wa awamu ya tatu bwana mkapa kwa kuwa watamletea shida,
mama ana mkapa anatuhumiwa kuuziwa kinyemelea nyumba 12 za serikali mkoani hapa, hali wanaoishi kwenye nyumba hizo wakiwa wamezilipia tayari
bwana mkapa anatuhumiwa kujiuzia mgodi wa kiwira mkoani mbeya akiwa na mshirika wake bwana yona.
Inasemekana mkuu wa mkoa alikaripiwa vikali na bwana mkapa, kuhakikisha kuwa mbeya haiwi kimbelembele kwa kumnyima usingizi, bwana mkapa alimwonya bwana mwakipesile walipokuwa kwenye msafara pamoja, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa rais wa zambia bwana levy mwanawasa, aliyezikwa lusaka zambia, mwezi uliopita,
mama ana mkapa anatuhumiwa kuuziwa kinyemelea nyumba 12 za serikali mkoani hapa, hali wanaoishi kwenye nyumba hizo wakiwa wamezilipia tayari
bwana mkapa anatuhumiwa kujiuzia mgodi wa kiwira mkoani mbeya akiwa na mshirika wake bwana yona.
Inasemekana mkuu wa mkoa alikaripiwa vikali na bwana mkapa, kuhakikisha kuwa mbeya haiwi kimbelembele kwa kumnyima usingizi, bwana mkapa alimwonya bwana mwakipesile walipokuwa kwenye msafara pamoja, kuhudhuria mazishi ya aliyekuwa rais wa zambia bwana levy mwanawasa, aliyezikwa lusaka zambia, mwezi uliopita,