RC kutangaza jiwe linalocheza

Hivi what are we? unajua mpaka sasa inafika wakati tunakuwa kama wendawazimu. Kwanini tunapenda kurudi zama za giza? Kweli sasa nimeamini wadau wa elimu wamekuwa wakiimba kuwa elimu inashuka sasa ndo tunaaanza kuona matokeo halisi ya tahadhari ya wadau wa elimu. Imekuwa ikisemwa kwamba hali ya elimu ni mbaya kuanzia shule ya msingi mpaka vyuoni, kuwa kiwango cha elimu kinashuka na taifa linaelekea ujingani sasa naamini ndo linaanza kufika ujingani. Eti serikali itoe pesa za tambiko la jiwe? siamin! Na inaweza kutoa si tunaona inochofanya na inachopanga kufanya loliondo. Nchi zenye elimu zao zina fadhiri utafiti sisi tunahamasishana kufadhiri miujiza. Hiyo miujiza mbona isije na pesa? Na watu wameshaweka akili zao kimiujiza miujiza wakisikia tu dalili ya muujiza hao..Na mtaibiwa sans mwaka huu Wahenga walisema Kazi ya mjinga ni kuumia na wale wasomaji wa bible nadhani kuna mstari (si mjuzi wa bible lakin) kuwa, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" NIHATARI KUKOSA ELIMU KATIKA DUNIA YA LEO INAYOENDESHWA KWA ELIMU.
 
No need for magic we all know what these rocks are made of, their molecular and atomic structure.. Mambo ya mawe kucheza muziki inamaana the atoms will have to vibrate in concert. According to Quantum Mechanics that is not strictly impossible but rather highly improbable. Infact according to one analogy (on a similar case of a statue waving its hand at an observer), the statistical probability is 1/1000x. And here x being the number of zeros one would need to write from the just after the Big Bang until now na bado ungekuwa hujamaliza kuandika hizo zeros. Tuacheni imani za stone age, mara vikombe bya ku ponya kila ugonjwa mara sijui vitu gani.. Tanzania movie za Africa magic naona zinaingia ku kichwa..lol
 
Liwekewe mazingira mazuri ili watalii wakitoka Loliondo wanapitia huko Ukerewe kushuhudia maajabu mengine huku dawa ya babu ikiendelea kufanya kazi taratibu!
 
Jamani jiwe lipo ni kweli, ni suala la mila zaidi sio sayansi ya darasani. sio suala la kilipush kidogo sababu halina uwiano wa kati katika uzito kama "We can" anavyodai hapo juu. watu wanapofikia kulitoa hadharani fahamu limeshafanyiwa uchunguzi wa kutosha, hata wazee wengine hawawezi kulifanya licheze isipokua huyo aliyerithi mikoba ya mchawi mkuu. ila nadhani kuliingiza jiwe liwe ni chanzo cha kuleta pesa sidhani kama jambo hilo litafanikiwa. linaweza kuleta maafa mabaya sana, huko ni ukara, au HAMJUI HISTORIA YA KABILA HILO KWA NDUMBA?

Hivi hamjui hata ile M.V Bukoba iko inafanya kazi ziwani? Ohooooooooo! shauri yenu, nyie semeni tupate pesa tu, ZIKIWATOKEA PUANI SIJUI MTAMLAUMU NANI? Kandoro au huyo Kikongwe?
 
na Jovither Kaijage, Ukerewe


Kwamba eti lina tani buku mbili!

Hebu...

nyaburebeka.JPG


Hapana... mi nimekataa, halina tani 2,000 hili!

Hesabu ni ugonjwa wa watanzania wengi. Kuna siku nilitembelea mbuga ya Manyara kuna guide mmoja anaitwa Mrosso alituambia kuwa tembo ana tani 2,500. Nadhani alimaanisha kilo 2,500.
 
Duuh huu mwaka wetu, sasa hivi jiwe linaloimbiwa na kucheza, kule loliondo dawa ya babu na jiwe lazima aimbe babu, huu mwaka ni wa mababu hapa kwetu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom