Raza: Kama fisadi ni fisadi, huo si ubaguzi wa rangi

Alichokisema Raza nina uhakika kuwa makada wa CCM kama Makamba,Mkuchika, Lowassa na Sofia Simba hawawezi kukiongea hadharani kwa vile wamekula ndoano ya mafisadi.
It does not need a rocket scientist to figure that out.
Sasa Mengi emegusia hilo na tunaona kash kash anayopata.
Ngugu yangu Pakacha hebu lisemee hilo wazi wazi kule Zenj tutakao kuunga mkono tuko wengi sana.

- Saafi sana, tupo pamoja sana hapa!

FMEs!
 
Bravo Raza, umethubutu mzee wangu, kumkoma nyani, hukuchelea kumuita spade kwa jina lake badala ya kumbabatiza kijiko kikubwa!

Yes, you did it! FISADI ni FISADI awe mwekundu blue ama zambarau!
 
- Hamna three ways about it Either uko na Mengi/Wananchi/Raza au Makamba/Rostam/Lowassa, hakuna middle ground wala neutrality!

- Uko wapi mkuu?

Respect.

FMEs!

Nipo TANZANIA kaka....

Neither with MENGI/KILANGO/RAZA and company NOR with MAKAMBA/ROSTAM/LOWASSA and the gang

omarilyas
 
Mimi nadhani wanacho kosa ni courage. Hawa wana CCM wengine wakina SS et al wanaogopa kwenda hadharani kuwasema mafisadi kwani wana ogopa urefu wa fimbo zao. Ndiyo maana iki bidi wana jidai kutetea. Naona ni wanafiki tu.
 
Why all over sudden Raza kaanza kupiga kelele??

CCM wamemwekea kauzibe anakopata misamaha ya kodi nini??
Na kwa nini Mfanyabiashara uwe unalia lia usamehewe kodi.. Kitu ambacho kinahitajika kuinua hali za maisha za watu kule vijijini, nasikia hata dini yetu (Islam)kamwe haikusamehe usitoe Zakaat- kwa vile hicho kitu kinahitajika sana kukidhi haja ya wale walio maskini. sasa kama unafanya biashara kwa nini usiimudu kodi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom