Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,364
- 35,002
Chura piaKumbe kenge na mamba ni ujinga wao tu!
Chura piaKumbe kenge na mamba ni ujinga wao tu!
Hata mimi nakubaliana nae weupe wake ni matokeo ya kunywa maji sana na si mkorogo.
tunampenda bhanaa!ndio mahana hata wewe hupendwi na jamii yako.
swissme
Sure mdau,nimeshuhudia watu wengi wakinywa.maji baada ya hiyo newsMabwawa yote ya kuogelea Tz yamejaa, maji kwenye ma bar na vibandani kwa mangi yananunuliwa kwa kasi ya ajabu.
Hii ni baada ya Ray Kigosi kusema weupe wake si wa mkorogo, bali unatokana na kunywa maji mengi tu.
Huyu jamaa sijuwi katumia sayansi gani.
bas hata ray hiyo ngozi aliipata alivoenda mbele/ mtoniMimi nina mawazo tofauti kidogo. Hivi kama background yako ilikuwa kushinda na kutembea juani,then mambo yanabadilika unaanza kutembea na kukaa kwenye gari,ofisi,nyumba full AC unafikiri utakuwa na rangi ile ile ya kupigwa na jua??? Hamjaona watu wakitoka bongo na kwenda mtoni wakirudi wanakuwaje?
Mimi binafsi nikiangalia picha zangu wakati niko mtoni na sasa hivi ni tofauti kabisa, nimekuwa mweusi pamoja na kwamba sitembei hovyo juani ila mazingira tu ya kibongobongo vumbi kibao unajikuta rangi inafifia.
My point,unaweza kuonekana mweusi ila ukiwa expsosed na mazingira fulani ngozi inang'aa bila kujichubua ni kawaida, hata nyinyi mnaopinga wengine tukiona picha zenu wakati mko vijijini sio kama mnavyong'aa leo.
Sitakuja kumuelewaSijawahi kumuelewa huyu jamaa
Anajua?From my heart, simpendi Ray.
Yaah hawa jamaa inahitaji moyo kuwaelewa moja haikai mbili haikai yaani ghafla wanapenda waibukie Hollywood na sio hata nollywood.Chura pia
Kuwaelewa hawa ni mpaka ujifyatue akili kama wao na ni kitu ambacho hakiwezekani.Sitakuja kumuelewa
Hawa jamaa hovyo kabisa. Sijui huwa wanafikiria niniHawa jamaa inahitaji moyo
Yaah hawa jamaa inahitaji moyo kuwaelewa moja haikai mbili haikai yaani ghafla wanapenda waibukie Hollywood na sio hata nollywood.