Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,270
- 16,286
kafanyanin huyu teja maana nama thread kama 5 zimeibuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:A S angry:Ray C anatakiwa kupewa ushauri nasaa na kuwekwa chini ya ungalizi maalum
kwanini tupoteze fedha kwa hopeless kama yeye? Si bora hiyo pesa itumike kusaidia watanzania wengine wenye maisha magumu!!
Hiyo ndio njia alioichagua mwacheni aendelee nayo mpaka mwisho wake!
Mjini wanyama kibao cha ajabu wanakula unga
binti kiuno bila ya mfupa i miss her,ubaya wa wavuta unga wengi wao huwa hawakubali ili wasaidiwe hasa macelebrity bali hukataa alafu ubaya wa unga wa kimasikini ukivuta lazima ukonde
Sidhani kama hii habari ni ya kweli...habari za uhakika nilizo nazo toka kwa mtu anayemsaidia kuacha madawa ni kuwa hajaacha, na kama wiki mbili zilizopita alitoroka rehab Hydom Arusha...na hana tena mawasiiliano na watu wanaomtakia mema..yaani waliokuwa wakijitahidi kumsaidia kuacha madawa ya kulevya unless anapokuwa hana kitu ndio anapiga simu za mizinga!
She is battling it...she needs help...a serious help!
utakondaje wakati unakuwa una dkt wako maalum anaekupangia ule nini na mshauri wako tofauti na kibongo bongo unga mwingi msosi f unakuta mtu anajaza ma carbohydrate tu mwilini kila siku,hafanyi hata balance diet,waangalie wasanii wamarekani wanaobwia bado wako vilevile tena wengine ni strongUkiwa na uwezo haukondii etiii!!?/