kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,705
- 11,273
You are weird
So do you.
You are weird
Tayari Mapovu YANAMTOKA HUYU.
Kwani Yesu yupo wapi? Maana unataka fahamu kafika lini, au sio?
YESU HALAZIMISHI WATU kama yule wa kule DUNIA YA KATI AMBAYE HANA JIPYA ZAIDI YA BALAA TUPU.
I dont believe in such sort of people named "wasanii" coz they'r real wasanii as the their logo depicts them. They are after nothing rather than world wealth. Their lips are smiling while hearts are black.
Kampokea yesu!!?
Kwani kaja lini dar!?
hahahaha
sijui kafikia hoteli gani?
Hivi watu wanaweza kumpokea Allah, au ni kulazimishwa kwa mijeredi/
Sidhani kama kuna kitu kinaitwa kumpokea allah
Teh teh teh!
Ni nyie tu ndio mna tabia ya kupokeana kila mara.
Sisi huwa hatusafiri safiri kila mara tushafika!
Nyie ndio wenye matatizo ya safari za kiroho! Kwa hiyo kupokeana sio ajabu.
Kwa hiyo nyie mnalazimishwa kwa mijeredi, maana hukupinga hilo. Now I know.
Nyie wafuasi wa mungu mzungu!
Ufahamu wenu woote na mtoto wa darasa la 4 hakuna tofauti kabisaa.
Mnaiga wazungu hata kwenda choo bila maji! Matokeo yake mnachafua mazingira!
Na kusababisha global warming! !
Kanisa la Siloam? Mie nilidhani kaingia Kanisa la Yesu, Katoliki ya Roma?
Duh! Huko kwa #ManabiiWaUongo ndiko anakoenda kupotea kabisa!
Huyu naye aukacha USILAMU. Ni kubatiza tuuuTrue. Dat is!
Actors! Thats all
Huyo yesu kaja na usafiri gani? Na ktk hayo mapokezi ile pombe ya bwana imo??
Halafu unasema ANAENDELEA KUBATIZA WATU!!
KWANI LINI ALIANZA HIO KAZI!?
NA JE ANAPATIKANA WAPI NA MIMI NIMLETEE DILI!!?