mzee wa busara
Senior Member
- Aug 13, 2011
- 181
- 86
Wana JM habari!,natafuta moja kati ya gari zifuatazo TOYOTA RAV 4 MILANGO 3, SUZUKI ESCUDO, TOYOTA PREMIO AU TOYOTA FILDER. ambaye ana moja kati gari hizo na ikiwa kwenye hali nzuri na anataka kufanya biashara ani PM kwa maelezo zaidi, Budget yangu ni 7.5M.