jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,322 Jul 18, 2012 #1 Wadau wa katiba, tafadhali sana naomba mniwekee hapa ratiba ya tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya, manake naona kama inatolewa kwa kushtukiza.
Wadau wa katiba, tafadhali sana naomba mniwekee hapa ratiba ya tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya, manake naona kama inatolewa kwa kushtukiza.
Communist JF-Expert Member Jun 1, 2012 5,400 1,181 Jul 18, 2012 #2 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...udi-kwanza-ndipo-rasimu-ya-katiba-ifuate.html
M Magesi JF-Expert Member Jul 10, 2012 2,587 573 Jul 18, 2012 #3 Leo kwa kanda ya kaskazini wa manyara
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,322 Jul 18, 2012 Thread starter #4 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...udi-kwanza-ndipo-rasimu-ya-katiba-ifuate.html Click to expand... naona umeni-tag kiaina, sijakuta ratiba huko.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...udi-kwanza-ndipo-rasimu-ya-katiba-ifuate.html Click to expand... naona umeni-tag kiaina, sijakuta ratiba huko.
jogi JF-Expert Member Sep 25, 2010 25,558 25,322 Jul 18, 2012 Thread starter #5 Magesi said: Leo kwa kanda ya kaskazini wa manyara Click to expand... Ratiba ndio mpango mzima, naona kunakushtukizana hapa. Kama lengo ni kupokea maoni ya waendesha bodaboda jutuzwe!!!
Magesi said: Leo kwa kanda ya kaskazini wa manyara Click to expand... Ratiba ndio mpango mzima, naona kunakushtukizana hapa. Kama lengo ni kupokea maoni ya waendesha bodaboda jutuzwe!!!