Neema William
Senior Member
- Jan 3, 2012
- 171
- 76
baada ya misa itakayofanyika leo katika kanisa la segerea jijini hapa kesho mpendwa wetu ataagwa katika ukumbi wa karimu Jee kiserikali na baadaye Regia atasafirishwa kuelekea nyumbani kwao Ifarakara kwa Nduna kwa ajili ya kumuhifadhi katika nyumba yake ya milee, ni maneno aliyosema baba yake mkubwa Regia, Kanuti Mtema