Kwa niaba ya familia ya Bw SAMWEL MBEZI tunashukuru kwa wote waliokuwa nasi katika kutufariji .. katika msiba wa mzee wetu marehemu MR samwel mbezi.....wakati tukisubiri mtoto wa marehemu anaewasili dar es salaam siku ya ijumaa tumeona tuwape RATIBA YA KINACOENDELEA
MAREHEMU SAMWEL LOUS MBEZI anatarajiwa kuagwa siku ya JUMAMOSI nyumbani kwake KIPUNGUNI...karibu na BANANA....KUANZIA MUDA WA SAA NNE ASBH NA BAADAE MWILI UTAPELEKWA KOROGWE KWA AJILI YA MAZIKO SIKU YA JUMAPILI.....
KWA YOYOTE MWENYE KUJISIKIA KUTOA MCHANGO/MASWALI JINSI YA KUFIKA NA MENGINEO USISITE KUWASILIANA NASII KWA
TEL 0715 609 431......J.M
0714 505 011
0718 370 685
WE LOVE U """"KIDUME""" WE LL STILL REMEMBER YOU FOREVER
BWANA AMEOTA BWANA AMETWAAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
MAREHEMU SAMWEL LOUS MBEZI anatarajiwa kuagwa siku ya JUMAMOSI nyumbani kwake KIPUNGUNI...karibu na BANANA....KUANZIA MUDA WA SAA NNE ASBH NA BAADAE MWILI UTAPELEKWA KOROGWE KWA AJILI YA MAZIKO SIKU YA JUMAPILI.....
KWA YOYOTE MWENYE KUJISIKIA KUTOA MCHANGO/MASWALI JINSI YA KUFIKA NA MENGINEO USISITE KUWASILIANA NASII KWA
TEL 0715 609 431......J.M
0714 505 011
0718 370 685
WE LOVE U """"KIDUME""" WE LL STILL REMEMBER YOU FOREVER
BWANA AMEOTA BWANA AMETWAAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE