mama Pdidy mungu akupe pumziko jema nasi tukuombee roho yako ikae mahala pema na sisi utuombee safari njema ya hapa duniani .... ili mwisho wote tukutane katika ufalme wa bwana
I can only imagine how difficult this has been, and my heart goes out to you and your family.You are so young to have to suffer such an incredible loss and while time is a healer, I know thats of little consolation now! Pole sana Mkuu Mungu akupe nguvu.
Zomba angalia?? C vizuri hata utoke dar to bukoba no problem seuze kimara to mbweni??? Just kampany na kumfariji mfiwa ,, kufiwa na mama inauma jamani,,, so zomba acha kuropoka
Huwa si-quote post za kipuuzi kama hii lakini leo nimeamua...........Kwa hiyo wewe unawajua wenyeji wote wa mji huu? au Ukizika huko unapotaka ndio unapata thawabu? Jitahidi kuwa na adabu au huna wazazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.