Ratiba ya mapenzi

kukuna

Member
May 26, 2010
73
1
Hii imekaaje wadau?nna mskaji wangu kaoa mzungu,eti wanaratiba ya kufanya tendo la ndoa yaani ni mara mbili kwa wiki ijumaa na jumatano,hivi kwa sie waafrika inawezekana kweli au ndo mambo ya kulazimishana uasherati!!
 
Hii imekaaje wadau?nna mskaji wangu kaoa mzungu,eti wanaratiba ya kufanya tendo la ndoa yaani ni mara mbili kwa wiki ijumaa na jumatano,hivi kwa sie waafrika inawezekana kweli au ndo mambo ya kulazimishana uasherati!!

hoja yako siyo mbaya sana, lakini kama ungeiweka jukwaa husika ingenoga zaidi
 
Kwa nini rafiki yako anakwambia mambo yake ya ndani? Waafrica wanakua na ratiba ya mara ngapi kwa wiki? au ndo as needed!!!!
 
Hii imekaaje wadau?nna mskaji wangu kaoa mzungu,eti wanaratiba ya kufanya tendo la ndoa yaani ni mara mbili kwa wiki ijumaa na jumatano,hivi kwa sie waafrika inawezekana kweli au ndo mambo ya kulazimishana uasherati!!
Mambo kwa schedule bana.
 
Twice a week once a time! hahahahahhahah
I hate that*****
 
sidhani kama ni makubaliano kwasababu analalamika waziwazi,sio kwangu tu washkaji wote wanaijua hiyo latiba.
Pole yake. Alipokuwa anaoa mzungu hakujua hilo? Mwanamke mzungu ndiye anaye-command nyumba, ndiye mwenye maamuzi kwa kila jambo, hata tendo la ndoa. Mwanaume ni kuitikia tu. Hujafuata utaratibu wake, huna mke, yaani mnaachana kwa sababu hawapendi kuendeshwa na mwanaume awe mweusi au mzungu mwenzao. Sasa huyu bwana alalamika nini leo ? Hakumfahamu namna zake? Uzuri weupe si wanafiki, wala hawafichi kile wanachokiamini.Wako wazi kabisa. Kitu gani hakujua? Basi avumilie tu ndo ndoa yenyewe. Kama anaona ni noma basi achukue utaratibu mwingine. Lakini azungumze na mkewe kwanza na kumweleza mahitaji yake ya mwili kabla ya kuchukua hatua nyingine.
 
Hayo ni makubaliano yao hayahusiani na makubaliano yangu na mamsapu! By the way umejiandikisha kupiga kura?
 
Hii imekaaje wadau?nna mskaji wangu kaoa mzungu,eti wanaratiba ya kufanya tendo la ndoa yaani ni mara mbili kwa wiki ijumaa na jumatano,hivi kwa sie waafrika inawezekana kweli au ndo mambo ya kulazimishana uasherati!!

Kama wote walipitisha kwenye katiba ya mji wao, sioni tatizo!..ila kama kakulalamikia basi hajaridhika,aongee na wife wake wabadili ratiba!!!
 
ka majibu yenu nimegundua kumbe kuna ndoa kibao zina ratiba mi kwa muono wangu,kama vile yakianza mambo yaratiba basi kunakuchokana fulani yaani inamaana hakuna hata zile hamu za hapa na pale kwa wana ndoa,kama mkiwa hamjapata watoto mmepoa tu wewe na mkeo hamuwezi hata kupasha mnasubili ratiba ifikie?jamaa ni newly wed hana watoto bado.
 
Hii imekaaje wadau?nna mskaji wangu kaoa mzungu,eti wanaratiba ya kufanya tendo la ndoa yaani ni mara mbili kwa wiki ijumaa na jumatano,hivi kwa sie waafrika inawezekana kweli au ndo mambo ya kulazimishana uasherati!!

Duh hii sijui,manake ukikabwa sana kula chakula jumapili ina maana usubiri hadi jumatano ijayo?
 
Back
Top Bottom