Ratiba ya kufunga na kufungua

The Lady

Member
May 22, 2010
53
0
Wadau naomba mnisaidie kama kuna mwenye ile ratiba inayoonesha muda wa kufunga na kufungua katika mwezi wa ramadhani naomba anisaidie please.
 
mie simo ila ninavyofanya mimi, nakula daku saa nane hadi tisa usiku kisha futari saa moja usiku wa siku hiohiyo moja
 
nipo dar, muda wa futari nasikiliza adhana ila muda wa mwisho kula daku ndo napata taabu
 
Back
Top Bottom