Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,500
Wana JF
Baada ya Mtoto wa Mkulima na waziri mkubwa Pinda kulihujumu taifa kwa kushindwa kutupa kile tulichokitarajia wakati akiahirisha mkutano wa Bunge Idodomya, nakuja hapa na ombi maalum.
Naomba yoyote mwenye ratiba ya hukumu ya kesi za ubunge kama vile Segerea, Ubungo, Singida, sumbawanga na kokote kule ambako kumekuwa na kesi ya kupinga matokeo ya ubunge baada ya uchaguzi wa 2010, basi atuwekee hapa ili tuweze kufuatilia kwa kina matokeo ya kesi hizo na kuweza kuwa na kumbukumbu halisi.
Naamini kwamba kesi hizo zinaweza walau kutupa ahueni wale wote tunaoitakia mema nchi yetu na wale tulioumizwa na uamuzi wa serikali ya JK kulindana na kushindwa kuwajibishana kwa manufaa ya taifa.
nawasilisha
Baada ya Mtoto wa Mkulima na waziri mkubwa Pinda kulihujumu taifa kwa kushindwa kutupa kile tulichokitarajia wakati akiahirisha mkutano wa Bunge Idodomya, nakuja hapa na ombi maalum.
Naomba yoyote mwenye ratiba ya hukumu ya kesi za ubunge kama vile Segerea, Ubungo, Singida, sumbawanga na kokote kule ambako kumekuwa na kesi ya kupinga matokeo ya ubunge baada ya uchaguzi wa 2010, basi atuwekee hapa ili tuweze kufuatilia kwa kina matokeo ya kesi hizo na kuweza kuwa na kumbukumbu halisi.
Naamini kwamba kesi hizo zinaweza walau kutupa ahueni wale wote tunaoitakia mema nchi yetu na wale tulioumizwa na uamuzi wa serikali ya JK kulindana na kushindwa kuwajibishana kwa manufaa ya taifa.
nawasilisha