Somoe
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 754
- 282
Ratiba itajipa tu.
Mwanzoni hata ukimtazama tu unakuwa unataka, hata kama yeye kachukia.
Baada ya miaka miwili, mpaka akufurahishe, akuchekeshe, ndio unataka.
Baada ya miaka mitano, mpaka unywe valuu/grants/zed..
Baada ya miaka kumi, mpaka uangalia porno,
Baada ya miaka 20, mpaka akudai, apige kelele, atishie kukushitaki, halafu unywe pombe na uangalie porno, ndio unampa....
AISE, tabu kweli kweli. Ndio faida ya kuoa kitamaa ya ngono na sio kimapenzi. Ukipenda kitu utamani tu mwenyewe bila sababu au kishawishi heheh