Baada ya Vuta ni kuvute kati ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Viongozi wa Chadema hatimaye Jeshi la Polisi limekubali ratiba ifuatayo kuwa ratiba rasmi ya Operesheni sangara Mkoa wa Morogoro ikiwa na mabadiliko kidogo ya tarehe na mahali pa uzinduzi.