Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
Wakuu,
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.
baada ya kuwa msomaji wa jamvi hili kwa miaka kadhaa kwenye maswala ya siasa, sasa nimejiunga rasmi na nia ni kwenda kuleeee..... Kwenye jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki...... Nadhani ndio jukwaa linalonofaa zaidi kipindi hiki ninachotafuta mchumba. Wazoefu wa kule naomba mnipokee na kama kuna single lady humu anaweza kuendelea kuni-PM kabla sijapost rasmi nia yangu ya kutaka kupata mchumba ambaye ni GREAT THINKER.
Nawasilisha.