Rasimu ya Katiba ya CHADEMA haina uhalali

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,892
32,308
Wanabodi.

Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.

Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.

Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.

Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.

Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.

Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.

Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?

Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?

Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.

Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
 
Wanabodi.

Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.

Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.

Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.

Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.

Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.

Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.

Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?

Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?

Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.

Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.

Hayo maneno yaliyokuwa bolded, mkubwa soma news na uzielewe..chadema hawakupeleka rasimu ya katiba, isipokuwa walipinga rasimu iliyotolewa na serikali kwa kuwa haukutolewa muda wa kutosha kujadiliwa na kutolewa maoni na wananchi..
Ila kama unamaslahi yako binafsi, mkuu endelea, uchumi wa nchi unakufa, nchi imeoza kwa upuuzi wako na wenzako mnaoshabikia vitu vya kipuuzi kwa maslahi ya kijinga..
Ni hayo tu mkuu..mm sina msimamo wa kisiasa na chama chochote..
 
Hayo maneno yaliyokuwa bolded, mkubwa soma news na uzielewe..chadema hawakupeleka rasimu ya katiba, isipokuwa walipinga rasimu iliyotolewa na serikali kwa kuwa haukutolewa muda wa kutosha kujadiliwa na kutolewa maoni na wananchi..
Ila kama unamaslahi yako binafsi, mkuu endelea, uchumi wa nchi unakufa, nchi imeoza kwa upuuzi wako na wenzako mnaoshabikia vitu vya kipuuzi kwa maslahi ya kijinga..
Ni hayo tu mkuu..mm sina msimamo wa kisiasa na chama chochote..

Mkuu, kama Chadema hawakupeleka rasimu ya katiba walipeleka nini?

Na hicho walichopeleka walitumwa na watanzania?
 

IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI
1.
Binadamu wote ni Sawa
shim.gif
2.
Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa
na kuthaminiwa utu wake
shim.gif
shim.gif
3.
Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya
kujenga jamii ya watu walio sawa na huru


 
Mkuu, kama Chadema hawakupeleka rasimu ya katiba walipeleka nini?

Na hicho walichopeleka walitumwa na watanzania?

Hujui walichopeleka chadema kwa kikwete lakini hapo hapo unasema walipeleka rasimu ya katiba. huu ni uzuzu!!

Waraka uliopelekwa kwa kikwete ulipostiwa hapa JF siku ile ile na kila mmoja aliusoma, sasa sijui siku ile ulikuwa wapi, ama uliusoma ukadhani ndio rasimu ya katiba. Hii ndio shida ya kusoma shule ya kata na baadae kuajiriwa na nape, hata mambo madogo kama hili unashindwa kulielewa.
 
pamoja na ufahamu wangu mdogo, ni kwamba ninachofahamu ni kuwa Cdm waliwasilisha mapendekezo yao kuhusiana na mchakato huo wa katiba, baadhi ya mapendekezo Rais aliyakubali, na akaahidi kuyafanyia kazi kabla ya kutiwa saini kwa muswaada huo, ili mchakato mzima mzima wa katiba uanze vizuri, sasa hilo unalosema, mhe. naona ni jipya sana kwangu, au labda sikuwaelewa vizuri au vyombo vya habari vilipotosha ukweli?, let us be realistic with this sentive issue, thanks.
 
Hujui walichopeleka chadema kwa kikwete lakini hapo hapo unasema walipeleka rasimu ya katiba. huu ni uzuzu!!

Waraka uliopelekwa kwa kikwete ulipostiwa hapa JF siku ile ile na kila mmoja aliusoma, sasa sijui siku ile ulikuwa wapi, ama uliusoma ukadhani ndio rasimu ya katiba. Hii ndio shida ya kusoma shule ya kata na baadae kuajiriwa na nape, hata mambo madogo kama hili unashindwa kulielewa.

Mpuuze anaandika upupu kujaza server tu
 
Hujui walichopeleka chadema kwa kikwete lakini hapo hapo unasema walipeleka rasimu ya katiba. huu ni uzuzu!!

Waraka uliopelekwa kwa kikwete ulipostiwa hapa JF siku ile ile na kila mmoja aliusoma, sasa sijui siku ile ulikuwa wapi, ama uliusoma ukadhani ndio rasimu ya katiba. Hii ndio shida ya kusoma shule ya kata na baadae kuajiriwa na nape, hata mambo madogo kama hili unashindwa kulielewa.
Mura.
Nadhani umeshindwa kueleza Chadema walipeleka nini Ikulu umeishia kusema uliletwa humu JF.

Wewe kiswahili kinakupa shida Mura, nimetumia neno rasimu umeshindwa kuelewa Mura.

Labda unataka nikuambie hivi Chadema walipeleka Muswada wa sheria ya mabadaliko ya katiba..

Nadhani Mura umenipata, halafu nasikia wewe unafanya kazi kwa Dr Slaa ya kumlea mtoto wake mchanga?
 
Mura.
Nadhani umeshindwa kueleza Chadema walipeleka nini Ikulu umeishia kusema uliletwa humu JF.

Wewe kiswahili kinakupa shida Mura, nimetumia neno rasimu umeshindwa kuelewa Mura.

Labda unataka nikuambie hivi Chadema walipeleka Muswada wa sheria ya mabadaliko ya katiba..

Nadhani Mura umenipata, halafu nasikia wewe unafanya kazi kwa Dr Slaa ya kumlea mtoto wake mchanga?

Bullshit!
 
Mkuu, kama Chadema hawakupeleka rasimu ya katiba walipeleka nini?

Na hicho walichopeleka walitumwa na watanzania?

siku hizi unafikiria kidogo sana! RASIMU YA KATIBA?! Hatujafika huko,bado tupo kwenye mchakato wa kuandaa sheria itakayopelekea kupata mchakato wa kukusanya maoni ili tuandae rasimu ya katiba na hatimaye katiba yenyewe!
 
siku hizi unafikiria kidogo sana! RASIMU YA KATIBA?! Hatujafika huko,bado tupo kwenye mchakato wa kuandaa sheria itakayopelekea kupata mchakato wa kukusanya maoni ili tuandae rasimu ya katiba na hatimaye katiba yenyewe!
Sasa wewe Chadema gani au Chadema kata? ujui hata Chadema walipeleka nini Ikulu
 
Mura.
Nadhani umeshindwa kueleza Chadema walipeleka nini Ikulu umeishia kusema uliletwa humu JF.

Wewe kiswahili kinakupa shida Mura, nimetumia neno rasimu umeshindwa kuelewa Mura.

Labda unataka nikuambie hivi Chadema walipeleka Muswada wa sheria ya mabadaliko ya katiba..

Nadhani Mura umenipata, halafu nasikia wewe unafanya kazi kwa Dr Slaa ya kumlea mtoto wake mchanga?

Matanga gha mwisukulugho se!.
 
Mkuu, kama Chadema hawakupeleka rasimu ya katiba walipeleka nini?

Na hicho walichopeleka walitumwa na watanzania?

Mwambie salva a-skani aubandike jamvini, au atoe taarifa kwa umma! unahangaika sana mkuu, hatuitaki ccm sembuse kikwete!
 
Sijawahi kuona kilaza humu JF kama huyu jamaa. Why wasting your time kujibu thread zilizoanzishwa na boga a.k.a kiazi?

Kama hadi leo hajui ni nini CHADEMA walikifuata Ikulu, huyu ni wa kukaa naye mbali, hawezi kuwa binadamu wa kawaida tusije tukawa tunajibizana na kiumbe kingine! Na-logoff.
 
Bwana Ritz!!

Tatizo ninaloliona kwako ni kuongozwa na hisia pamoja na chuki zako dhidi ya CDM kiasi cha kukufanya kupoteza uwezo wako wa kufikiri, kuelewa na kupambanua mambo. Wewe ni mtanzania mwenye akili timamu, usitumie chuki zako kuwadanganya watanzania wenzio ambao hata hivyo watakuona wewe chizi tu. Walichopeleka CDM ikulu ni maoni yao yanayoonesha kutoridhishwa kwao na jinsi mchakato wa kupitisha sheria bingeni ulivyoendeshwa na wakapendekeza vipengele ndani ya sheria hiyo ambavyo vikiachwa vilivyo hatutapata katiba tuitakayo: katiba ya watanzania.. CDM hawakupeleka rasimu ya katiba.. Funguka macho, tumia akili yako timamu kuleta hoja za masingi siyo chuki zako za kipuuzi la sivyo utaendelea kuwa daraja tu, kuwavusha watu (CCM) wakati wewe ukiendelea kubaki hapo ulipo!
 
ritz said:
Wanabodi.

Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.
Achana nao wala wasikusumbue mkaka wa watu

Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.
Washauri watumie neno MAPINDUZI au MAGEUZI hapo utawaelewa

Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.
Achana na CHADEMA ni chama cha msimu utaugugua bure mtoto wa mama

Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.
Mpo wangapi mambumbu msioelewa hata kwa kuambiwa na kuandikiwa mrudi darasani

Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.
Kazi unayo huelewi hata rasimu nini dah

Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Mliwasoma kurasa ngapi labda mngemaza kurasa zote mngeelewa

Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?
Unaweza ukawa umerogwa ila hujielewi waulize CUF walipeleka nini

Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?
Haa!! kumbe CHADEMA siyo Watanzania

Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.
Unapo kusanya maoni ya WaTZ wa mikoa 26 unatumia ya mikoa 3 tu kwa masaa 20 tusemeje ???

Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Uzuri mwaka umekuishia salama maanayake ....
 
Back
Top Bottom