Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Wanabodi.
Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.
Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.
Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.
Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.
Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.
Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?
Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?
Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.
Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.
Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.
Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.
Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.
Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.
Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?
Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?
Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.
Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.